Friday, February 15, 2013

LEO HII SAA 5:00 AM KATIKA KIPINDI CHA MAISHA YANGU

Habari ya Asubuhinwapendwa? Naomba muungane nami itakapotimu saa 5:00 AM leo kupitia 98.7 TBC SONGEA nitakuwa katika kipindi cha maisha yangu na Kijana Hamidu ambaye kapitia magumu ya kuskitisha na kwawale waliokosa sehemu ya kwanza nawapa pole sana na leo hii tutakuwa sehemu ya Pili . karibuni sana nikupitia hapa hapa Tbc Songea...............

No comments:

Post a Comment