Friday, September 14, 2012

SIKU YA MAADHIMISHO YA YEBO SALAMA SONGEA




Ni baadhi ya madereva   yebo mjini Songea wakiwa kwenye maandamano yaliyofanyika siku ya tar..8..9..2012 katika viwanja vya majimaji majira ya saa.8 mchana chini ya uzamini wa ROTARY CLABU YA SONGEA na mgeni Rasmi alikuwa na mkuu wa wilaya ya Songea Mh: JOSEPH JOSEPH MKILIKITI



 Baadhi ya madereva yebo yebo (boda boda) wakiwa katika pozi ndani ya uwanja wa majimaji mjini Songea

Mgeni rasmi akiwasili katika viwanja  vya majimaji Mh: JOSEPH JOSEPH MKILIKITI siku ya ufunguzi wa yebo salama mjini Songea


Rais wa klabu ya Rotary ya Songea Dr. VENANCE MUSHI akisoma risala ya Rotary klabu ya Songea kwa mgeni rasmi Mh: JOSEPH JOSEPH MKILIKITI Mkuu wa wilaya katika ufunguzi wa mradi wa yebo salama-manispaa ya  songea

Mh; mkuu wa wilaya JOSEPH JOSEPH MKILIKITI akiwa katika pozi siku ya ufunguzi wa mradi wa yebo salama -manispaa ya Songea

Akijibu risala ya wana Rotary klabu ya songea



Akiwa kwenye maojiono na waandishi wa habari songea siku ya ufunguzi wa Rotary klabu ya Songea .

No comments:

Post a Comment